Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Nani hao wawili wanaojitokeza zaidi katika picha hii? Jamaa alifanya kusudu paparaz wamanatishe na huyu anajikimbia mkataba wake Galax?
Huyo Mwenye safari boots ni David Beckham na L.A Lakers Paul Gasol.
Asante mkuu...ni mambo ya apple gadgets na spelling corrections. Ukiandika Pau ..inamalizia Paul..na haraka haraka Unakuta umepost bila kudouble check.Pau Gasol...sio Paul!
Kwani huyo pau or Paul unajua spelling za majina yenu? Kazi kweli kweli!Asante mkuu...ni mambo ya apple gadgets na spelling corrections. Ukiandika Pau ..inamalizia Paul..na haraka haraka Unakuta umepost bila kudouble check.
Muda mwingine ni vizuri ukapitiliza kukojoa ..vaa pampaz upande kitandani kulala. usirukie Mkuki kwa mbele utakutoboa.Kwani huyo pau or Paul unajua spelling za majina yenu? Kazi kweli kweli!