Mkuu ni hisia zako tu au ndo stori yenyewe...nakuamini kwa kiasi kikubwa sana.Inasemekana huyo binti alitupwa na mama yake mzazi akaokotwa na kulelewa na huyo bibi ambaye Inasemekana ni chizi
Ilinijia akilini kuwa hawa watu watakuwa wa ukanda huo, japo mimi niliwaza ni South Africa. Wamefanana na wale Bush men wa KalahariTena wala sio chizi ni bibi yake huko Namibia (Sam girl)
Ni kweli ila watu wanajua kuongeza chumvi nashangaa sijui kwa kupata niniIlinijia akilini kuwa hawa watu watakuwa wa ukanda huo, japo mimi niliwaza ni South Africa. Wamefanana na wale Bush men wa Kalahari
Duu huu ndio uhalisia kumbeNi kweli ila watu wanajua kuongeza chumvi nashangaa sijui kwa kupata nini
View attachment 451713
Wewe mpare wa ugweno enhee?Ngoja nikalete habari kamili
Watu wanajua kutunga jamani,Duu huu ndio uhalisia kumbe
Thanks again story ya Facebook imeniingiza chakaWatu wanajua kutunga jamani,
Mshana wewe unafuatilia mambo mengi sana angalia San girl of Namibia View attachment 451716
Usijali bro napenda kufuatilia kwa kina ni udadisi tu wa kujua mambo.Thanks again story ya Facebook imeniingiza chaka
mchawi sana wewe. Unatuletea hbr nusu nusu, unadhani tuko upareni?Kwanini