mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,853
Basi bhana hakuna emoji ninayo ipenda kama ya kicheko cha machozi ile ndio imenifanya nizipende nyuzi nyingi za watu hata kama kaandika upuuzi/no point ila nitajikuta naukubali sana uzi/thread yako kwanza nikiiona tu kwenye comment za wana hata kama aliandika kitu cha kuhuzunisha lazima nicheke vp kwa upande wako emoj gan imekuteka roho.