Possibly. We never know...!!Au anakabidhiwa uchawi
hii story imenihuzunisha sana. ningekuwa mimi ndio huyo mwanaume, ningemwacha kabisa huyo binti....kama amemkana mama aliyemzaa, atashindwaje kumkana mwanaume aliyekutananaye ukubwani?
Very clever, huyo ni msichana wa Namibia akiwa na bibi yake akipewa yai la mbunihuyu binti mbona anafanana na yule binti alieigiza kwenye the gods must be crazy
Tena wala sio chizi ni bibi yake huko Namibia (San girl)I can not see any sad thing in the whole issue. Huyo Bibi Chizi naye alihitaji binti, you should be happy for her Mshana