Picha ya Kenneth Kaunda inayosambaa mitandaoni inavyovuta hisia Zambia, Zimbambwe na ukanda wa Kusini mwa Afrika

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Sep 18, 2013
9,125
8,627
Ni picha iliyobeba hisia kali,picha ya wapigania uhuru haswaa na bila shaka ndicho chanzo cha raisi Ramaphosa kuzomewa jana katika mazishi ya Mugabe kule Zimbambwe. Picha ya kwanza inamuonyesha Keneth akiteta na Mugabe kipindi cha uhai wake huku wambea wanasema alikuwa akilia na nyingine akimuaga comrade mwezake kwenda katika makazi ya milele
FB_IMG_1568483910614.jpeg
FB_IMG_1568483903349.jpeg
 
Keneth Kaunda ( KK) ni Muadilifu kweli kweli hata kura zilipo pelea 1991 alikabidhi madaraka kwa Fredrick’s Chiluba bila ya visingizo na bahati mbaya akalipwa ubaya kwa kuvuliwa Uraia na kutupwa Gerezani
Sana mkuu
 
Mwenye details za picha ya kwanza ilipivwa lini na wapi tafadhali!!

Picha zote mbili zinaonyesha jinsi KK alivyokua na upendo wa dhati kwa Mugabe, picha ya pili nadhan inasiktisha zaid Maana KK naye yupo kwenye machweo, na anashuhudia aliye mpenda na kumthamini (Mugabe) is no more.
 
Keneth Kaunda ( KK) ni Muadilifu kweli kweli hata kura zilipo pelea 1991 alikabidhi madaraka kwa Fredrick’s Chiluba bila ya visingizo na bahati mbaya akalipwa ubaya kwa kuvuliwa Uraia na kutupwa Gerezani
Ilikuwaje hiyo, fafanua zaidi kidogo ndugu. Kura zilipeleaje na walimtuhumu nini hadi wakamfunga? Na alitoka baada ya muda gani?
 
Hawa wazee walikuwa na urafiki wa Ndani ya mioyo kama labda JPM na Odinga... Walipendana kweli... Tofauti na viongozi wa Sasa wa nchi za kusini mwa Africa. Hivi lamaphosa sijui alianzaje kuhudhuria jaman na hawakumponda hata na viatu walikwama wapi?
Nataman kuona video aliyozomewa
FB_IMG_1568524193302.jpg
 
Hawa wazee walikuwa na urafiki wa Ndani ya mioyo kama labda JPM na Odinga... Walipendana kweli... Tofauti na viongozi wa Sasa wa nchi za kusini mwa Africa. Hivi lamaphosa sijui alianzaje kuhudhuria jaman na hawakumponda hata na viatu walikwama wapi?
Nataman kuona video aliyozomewaView attachment 1207905

Hicho ni kizazi pekee cha viongozi kwa Africa waliokuwa marafiki au kwa vile walisaidiana kiukombozi, ndo habari zake zinaishilia hivyo.... simwoni Mzee Ruksa akiwa na rafiki yeyote wa nje ila watakuja kujiliza tu kwa mujibu wa taratibu.
 
Hawa wazee walikuwa na urafiki wa Ndani ya mioyo kama labda JPM na Odinga... Walipendana kweli... Tofauti na viongozi wa Sasa wa nchi za kusini mwa Africa. Hivi lamaphosa sijui alianzaje kuhudhuria jaman na hawakumponda hata na viatu walikwama wapi?
Nataman kuona video aliyozomewaView attachment 1207905
Huu ulikuwa urafiki wa kweli kabisa hakuna ujanjaujanja wala unafiki
 
Hawa wazee walikuwa na urafiki wa Ndani ya mioyo kama labda JPM na Odinga... Walipendana kweli... Tofauti na viongozi wa Sasa wa nchi za kusini mwa Africa. Hivi lamaphosa sijui alianzaje kuhudhuria jaman na hawakumponda hata na viatu walikwama wapi?
Nataman kuona video aliyozomewaView attachment 1207905
Ingia YouTube mkuu. Nahisi walimpa mic mchungaji mmoja kuwanyamazisha wazomeaji lakini hawakujali
 
Keneth Kaunda ( KK) ni Muadilifu kweli kweli hata kura zilipo pelea 1991 alikabidhi madaraka kwa Fredrick’s Chiluba bila ya visingizo na bahati mbaya akalipwa ubaya kwa kuvuliwa Uraia na kutupwa Gerezani
Muadilifu kama ccm
 
Back
Top Bottom