Picha ya Ghadafi na Jenereli Ulimwengu

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,413

Hapa ni Benghazi 1983 wakati huo Jenerali akiwa naibu katibu mkuu wa Pan African Youth Movement, Ghadafi alikuwa ndio mfadhili mkuu wa Pan African Youth movement
 
duuu,kweli Mzee Jenerali ametoka mbali,ni wazee wenye history ndevu sana
 
Wakati huo jenerali alikuwa akikusanya fedha kwa ajiri ya kufufua na kupanua HIMA empire.
 
Wkt huo kilikuwa ni chama cha kina Nyerere na kulikuwa na siasa safi na uongozi bora ! nawe ulisoma bure na pamoja na makabwela,matajiri,wazungu,wahindi,waaarabu nk wewe mwana wa nchi uliheshimika na sio sasa !
 
:tongue:Ulimwengu wa sasa viongozi wetu hawapo kwa ajili ya kutupeleka tunapotaka bali kujilimbikizia mijimali tu! Mafisadi watupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…