Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 256
View attachment 25625
Huyu ni kipepeo au nyoka? Duniani kuna mambo! Au imefanyiwa sayansi fulani picha hii?
Ebu nifafanulie wanajanvi.
View attachment 25625
Huyu ni kipepeo au nyoka? Duniani kuna mambo! Au imefanyiwa sayansi fulani picha hii?
Ebu nifafanulie wanajanvi.
me naona kama nyoka!View attachment 25625
Huyu ni kipepeo au nyoka? Duniani kuna mambo! Au imefanyiwa sayansi fulani picha hii?
Ebu nifafanulie wanajanvi.
vaa miwani
both............
unavyoona ndio hivyo hivyo,,,,hiyo ni picha,,,sio nyoka wala kipepeo
Acha maswali magumu! Kama ukimuona ni kipepeo basi anakuwa kipepeo na kama utamuona ni nyoka basi na awe nyoka. kwa nini kuulizana maswali ya kutuchanganya?
me naona kama nyoka!
View attachment 25625
Huyu ni kipepeo au nyoka? Duniani kuna mambo! Au imefanyiwa sayansi fulani picha hii?
Ebu nifafanulie wanajanvi.
hakuna usanii kny hyo picha ni kipepeo ambeye ameumbwa hvyo hili hajikinge na maadui zke!