Picha: Watu ktk ubora wao.

Picha: Watu ktk ubora wao.

AgentX

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
1,651
Reaction score
1,700
Hao ni wacheza Tennis wakicheza mchezo huo juu ya ndege huku ikiwa inatembea. Usawa 1000m angani.
Ilikuwa ni mwaka 1925. *daredevils*

Ndani ya Los Angeles
 

Attachments

  • 1436001383846.jpg
    1436001383846.jpg
    33.9 KB · Views: 1,378
Kwa huo upepo uliokuwa huko juu nahisi huo mpira wa "Tennis" ulikuwa mzito sana. Na hiyo meza ilikuwa ya chuma. Yani physics inakataa kabisa.
 
Ingekuwa leo ni tarehe 1 april ningekuelewa



Wakereketwa wa CCM bwana, yaani kwao kila kitu ni mazingaombwe. Sasa naelewa kwa nini wanapenda sana viganja vya albino pale wanapotaka kufanya jambo la maana kama kugombea udiwani, ubunge, uenyekiti wa mtaa, na urais. Tanzania hii kuja kuendelea kwa kweli inabidi CCM ife la sivyo kuja kupata maendeleo itatukosti sana.
 
Kama ndege ilikuwa inatembea 1000m angani sawa,

Lakini kama ilipaa juu usawa huo!!!!!!!!ngoja nikafuturu kwanza labda ntakuelewa.
 
It is possible by considering Newton's first law of motion. "Everybody continuous in its state of rest or uniform motion on a straight line unless compelled by some external force to act other wise". Therefor the guys at the top and the tennis ball are all moving with the same speed as that of the aero plane
 
Umeshaambiwa ni daredevils, fulu stop. Hakuna mwanadamu wala hakuna sayansi inayokubali hapo. Kama ni nguvu za aliens labda nitakubali
 
wengine ni wale wanadanganywa mmarekani kaenda mwezini kumbe kapigia picha jangwa la sahara.kama uamini muulize mrusi.
 
Back
Top Bottom