Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Unavyozipenda hizi picha za kipindi hicho wapinzani walikuwa na democrasia ya kutosha tofauti na sasa miaka Minne mtu mmoja tu kafanya kampeniDogo umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji siyo?
Hebu tazama hii ya miaka 10 iliyopita kisha niambie huyo Lisu wako anaingia mara ngapi hapo? View attachment 1571855View attachment 1571856View attachment 1571857View attachment 1571858View attachment 1571859