Uchaguzi 2020 Picha wasizopenda kuziona Lumumba

Hahaha waache Wajifurahishe Bana Wanajua ndio wakati wao huu Wa kujitoa ufahamu Halafu watarudi kununa kulalamika kama kawaida ya malalamiko fc
Hii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.

Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
 
Mbona unateseka?

Hapo kwanza ilikuwa ni UKAWA.... SAWA?

MBALI YA YOTE TUNDU LISSU KAVUNJA REKODI KUKUBALIKA NA MAELFU BILA UKAWA, WASANII, KUTOROSHA WANAFUNZI, KULAZIMISHA WATUMISHI KUJA MIKUTANONI NA BILA MALORI NA MAFUSO PAMOJA NA MABASI.

NI YEYE TU.View attachment 1571868View attachment 1571869View attachment 1571871View attachment 1571872View attachment 1571873


1600290621104.png
 
Mbona unateseka?

Hapo kwanza ilikuwa ni UKAWA.... SAWA?

MBALI YA YOTE TUNDU LISSU KAVUNJA REKODI KUKUBALIKA NA MAELFU BILA UKAWA, WASANII, KUTOROSHA WANAFUNZI, KULAZIMISHA WATUMISHI KUJA MIKUTANONI NA BILA MALORI NA MAFUSO PAMOJA NA MABASI.

NI YEYE TU.View attachment 1571868View attachment 1571869View attachment 1571871View attachment 1571872View attachment 1571873
Anachosahau pia kipindi hicho media zilikuwa huru, wananchi walikuwa huru, vyama vilikuwa huru, hivyo hata mikutano ilikuwa ikitangazwa kwenye vyombo vya habari.

Leo hii watu wanaitana kwenye mikutano kwa WhatsApp tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom