lakini tuache utani hawa warangi ni warembo mno sema tu...ni hataree kwa yale mambo yetu...akikataa nenda katambikie na uoshwe maji ya bahari.Huu sasa utani hahaaa
hahaaaa Shehe HILAL KIPOZEO..huyo jamaaa ni noumaaaa sanaaa
Aaaah Arusha sehemu gani?Wawili hapo juu nawafahamu, wapo Arusha!
mh! Yule shekhe kiboko kweli
Mkuu yule Sheikh Hilal Kipoozeo ni noma sana hasa upande wa mizigo mizito mizito mmh sipendi wale wembamba
Hahahaha aisee hayo maneno nliyasikia kwa mtu mmoja hv
kabanga loh...! hahaaaaa hahaaaaakama hii...?
Warangi, Wambulu, Wanyaturu, ni jamii za Wairaque wa Tanzania, wanawake wao ni wazuri kwa sura, weupe, pua za kisomali na nywele za singa!, warefu, wembamba,ila hawana leggy line, kwa uzuri sura, weupe na uzuri wa kupendeza machoni, kiukweli kabisa ni wazuri sana, na pia wamejaaliwa kuna wana roho nzuri, ila ...
Hili sio tatizo, ni roho nzuri tuu hizi!.Tatizo la warangi wanagawa sana mkuu.
nenda kondoa utawakuta kibao...kazi kwako tu kujitafunia. Smile na Passion Lady njooni uku mnatafutwa au mshatimkia kijijini? Pia Ye Soya jiandae maana na wewe pia watafutwa hukumi ntaaminije kama hawa warangi ingawa kweli wana rangi