Picha: Warangi ni warembo balaa!

Urembo wao ni rangi na uzuri wa sura tu, hebu wapige picha toka kichwani hadi miguuni, hebu wageuze thn ndo utasema, kila jamii imeberikiwa kwa namna yao, wengne sura, rang, hata maumbo mazur
 
miguu yao sasa...hapo ndiyo huwa nachoka
kama hii...?

1234410_517108215039166_1930890537_n.jpg
 
Hahahaha aisee hayo maneno nliyasikia kwa mtu mmoja hv

Mkuu kuna sheikh mmoja maarufu sana anaitwa Hilal Kipoozeo duh ana maneno sana nenda youtube andika sheikh Kipoozeo basi hapo utapata kazi zake nyingi sana .
 
Jamani kwa jamii yote ya wa iraq ni wahuni au ni baadhi baadhi tu?
 
Back
Top Bottom