Picha: Wana CCM Ilala (Dar), wakisherehekea jana, wakati taifa linaomboleza msiba

We jamaa naomba namba yako nikutumie meseji ya vitisho sasaivi maana naona unachokonoa chokonoa sana


Mkuu Man KKK, mbona namba ya Aweda iko hapo kwenye profile yake ameweka kama ID huhitaji kuitafuta, au huioni? anza kutuma msg kuwa ajiandae kwenda Mabwepande
 
attachment.php


Yaani wengine wanakunywa Coca na Kipaplipapli wakati wakati watu wanaopolewa Baharini huko Chombe?...Hivi hizo sodA ZINASHUKAJE?

Misukule ya baba mwanaasha hiyo, haina matumaini kabisa ya maisha inangojea 2015 ipewe zile sanda zao za njano na kijani kwa maziko rasmi ya chama lao la kishetani.
 
huu ni uchochezi wa kichuki chuki tu,tuwekee tarehe na muda.inaonekana umechukua picha za mwaka juzi unatuekea hapa leo.hatudanganyikiiiiiiiiiiii
 
Hapa wala haionyeshi kama watu wapo kwenye sherehe,hiki ni kikao tena ukute wanajadiliana hayo mambo ya msiba.au ushamba wako tu unakuzingua,tembea uone mengi wewe.
 
Misukule ya baba mwanaasha hiyo, haina matumaini kabisa ya maisha inangojea 2015 ipewe zile sanda zao za njano na kijani kwa maziko rasmi ya chama lao la kishetani.

Hawa watu wameshakata tamaa siku nyingi na wala hawajui kesho yao itakuwaje, wanahitaji kukombolewa vinginevyo watabaki kuwa mateka maisha yao yote.
 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Uwanja wa Maisara, Zanzibar, ambako ndiko miili ya marehemu huletwa kwa utambuzi baada ya kuokolewa kwenye eneo la ajali leo Julai 19, 2012.

Source: wavuti - wavuti
 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa walionusurika katika ajali ya meli jana huko Chumbwe wakati Rais na Mama Salma Kikwete walipowatembelea kuwafariji na kuwapa pole katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja leo Julai 19, 20


Source: wavuti - wavuti
 
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimpa pole Bi Salome Abeli, mmoja wa walionusurika katika ajali hiyo ya meli. Yeye ni mfanyakazi wa Tanzania Automic Energy Commission akitokea Arusha kwenda Pemba Kikazi leo Julai 19, 2012.

Source: wavuti - wavuti
 
Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimpa pole Bi Salome Abeli, mmoja wa walionusurika katika ajali hiyo ya meli. Yeye ni mfanyakazi wa Tanzania Automic Energy Commission akitokea Arusha kwenda Pemba Kikazi leo Julai 19, 2012.


Source: wavuti - wavuti
 
Mungu aziweke mahali pema peponi roho za marehemu na awalaani wanaotumia tukio hili kutaka kujinufaisha kisiasa mfano wa aweda aaaaaimen
 
ndio maana tunasema hiki chama kimeshachoka tayari, kiwapishe wanaoweza watawale
 
Kwani jk alikuwa na ulazima Wa kuvaa suit au hawezi kuvaa shati moja tu ikawa imetosha?Mbona wana CCM Ilala walikuwa kwenye sherehe au wana amini walio kufa ni kafu wote ?
 
Wanapumua baada ya serikali yao kubanwa na matatizo ya mfumko wa bei, maisha magumu ya Watz na kutekwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka!!!! Sasa attention imekuwa diverted, nchi hii bwana!!!!
 
Back
Top Bottom