Mwelewa :
mimi ni Mtanzania grade A (ukawa)
Hiyo ni lugha ambayo wewe huielewi subiri wake waliopita anga hizo wake humu.
Ndio maana Mugabe alisema akimkamata Laira Odinga atampasua kende zake, wezi Sana wakenya, wanatamani hata kuubeba mlima Kilimanjaro, bora Mugabe ampasue zile kende ili watie adabu
Hahaha thubutu jamaa atanyonga
Moto chini
1.umejuaje km hao ni raia wa Kenya
2.hao ni wabangubangu
Km umeishi maisha yale utani elewa
3. Mleta mada hiyo tabia ni uistabani ng'ondo zako aziphilanga kalhe.
Hahaha mbona sikunyingi TU kisha sema wakenya ni wezi
Ndio maana Mugabe alisema akimkamata Laira Odinga atampasua kende zake, wezi Sana wakenya, wanatamani hata kuubeba mlima Kilimanjaro, bora Mugabe ampasue zile kende ili watie adabu
Mh! hamna nduguyangu weweMwelewa :mimi ni Mtanzania grade A (ukawa)Hiyo ni lugha ambayo wewe huielewi subiri wake waliopita anga hizo wake humu.
HA! hadi huku jamaa upo Kwa wakenya wenyeweUna uraia gani? Unaubia gani Na wakenya Shocking Image Of Kenyan Woman Called WANJIKU Caught With Stolen Meat In South Africa - Kenya TalksUje tena Na ujuha wako uulize
Naona kaongeza tu sina hakika Kumtaja ODINGAMkuu ile ya juzi hapa nimeisoma, ila hayo ya kumkamata Odinga bado sijaisoma.