Picha: Wabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao!

kama huu mzigo wangefanikisha kuuigiza mtaani, wangetoka maisha maana naona mi us dollar ya kutosha hapo
 
Leo dogo wangu dukani wamempiga ten moja fake!sisemi ni hawa but mzunguko wote mtaani wanaweza kuwa wanaufanya wao.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…