Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kama zikitumika huko ndo hutoi taarifa unajitengenezea tukesi rahisi sana hio hizo mara nyingi zintumika kwenye movie au nyimbo
hakuna kesi hapo
Wacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusukesi rahisi sana hio hizo mara nyingi zintumika kwenye movie au nyimbo
hakuna kesi hapo
Hivyo ndivyo ninavyofahamu..Ndo maana nikauliza je wanahusika vipi na masuala ya movie na kutengeneza?Wacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusu
Sent using unknown device
wana kibali cha ku orint fedha note bandia ila inaandikwa kuwa ni baandiaWacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusu
Sent using unknown device
Kwisha zao..! Polisi imewatia nguvuni Bi Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao mtaa wa Ruiru, Kiambu nchini Kenya.View attachment 1033460View attachment 1033461View attachment 1033462View attachment 1033464
Duh taratibu aiseeWakenya WOTE ni wezi!
Unaona pana ten hapo? acha mawenge na ka kioski kakoLeo dogo wangu dukani wamempiga ten moja fake!sisemi ni hawa but mzunguko wote mtaani wanaweza kuwa wanaufanya wao.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk