Picha: Wabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao!

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,261
Kwisha zao..! Jeshi la Polisi limewatia nguvuni Bi Nancy Muthori na Bw. Joseph Muhayo baada ya kuwabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao mtaa wa Ruiru, Kiambu nchini Kenya.
FB_IMG_1551267899667.jpeg
FB_IMG_1551267887724.jpeg
FB_IMG_1551267908685.jpeg
FB_IMG_1551267919008.jpeg
 
Leo dogo wangu dukani wamempiga ten moja fake!sisemi ni hawa but mzunguko wote mtaani wanaweza kuwa wanaufanya wao.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom