kesi rahisi sana hio hizo mara nyingi zintumika kwenye movie au nyimbo
hakuna kesi hapo
Kwani kama zikitumika huko ndo hutoi taarifa unajitengenezea tukesi rahisi sana hio hizo mara nyingi zintumika kwenye movie au nyimbo
hakuna kesi hapo
Wacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusukesi rahisi sana hio hizo mara nyingi zintumika kwenye movie au nyimbo
hakuna kesi hapo
Hivyo ndivyo ninavyofahamu..Ndo maana nikauliza je wanahusika vipi na masuala ya movie na kutengeneza?Wacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusu
Sent using unknown device
wana kibali cha ku orint fedha note bandia ila inaandikwa kuwa ni baandiaWacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusu
Sent using unknown device
Kwisha zao..! Polisi imewatia nguvuni Bi Nancy Muthori na Joseph Muhayo baada ya kuwabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao mtaa wa Ruiru, Kiambu nchini Kenya. View attachment 1033460 View attachment 1033461 View attachment 1033462 View attachment 1033464
Duh taratibu aiseeWakenya WOTE ni wezi!
kama huu mzigo wangefanikisha kuuigiza mtaani, wangetoka maisha maana naona mi us dollar ya kutosha hapo
Unaona pana ten hapo? acha mawenge na ka kioski kakoLeo dogo wangu dukani wamempiga ten moja fake!sisemi ni hawa but mzunguko wote mtaani wanaweza kuwa wanaufanya wao.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us