imhotep JF-Expert Member Oct 13, 2012 46,674 71,039 Mar 27, 2024 #3 Kwahiyo hizo Pikipiki watahongwa Wapiga Kura?
myoyambendi JF-Expert Member Sep 13, 2013 147,808 657,027 Mar 27, 2024 #4 Mjanja M1 said: Maandalizi yameshaanza. View attachment 2946191 Click to expand... Aisee....
L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Jul 28, 2022 15,262 9,715 Mar 27, 2024 #5 Zamaulid said: Kwa hiyo ndo ashapitishwa eee?! Click to expand... Unauliza majibu?
digba sowey JF-Expert Member Mar 1, 2017 7,903 14,375 Mar 27, 2024 #6 Safi kabisa,ccm chama kinachojaria raia wake
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,282 105,494 Mar 27, 2024 #7 Ukiwa rais uwe tayari sura yako iwekwe hata kwenye matako ya watu. Maana wanaweza kutengeneza khanga zenye sura yako matakoni mwa watu.
Ukiwa rais uwe tayari sura yako iwekwe hata kwenye matako ya watu. Maana wanaweza kutengeneza khanga zenye sura yako matakoni mwa watu.
Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 19,083 41,573 Mar 27, 2024 #8 Hii ndio maana halisi ya kuwajali afisa usafirishaji 😂
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,659 13,486 Mar 27, 2024 #11 Lucas mwashambwa said: Unauliza majibu? Click to expand... Safari ya demokrasia bado ndefu
O Open school JF-Expert Member Jul 13, 2015 465 501 Mar 27, 2024 #12 Waethiopia na wasomali watapandishwa bodaboda badala ya V8 za wana ccm.
kmbwembwe JF-Expert Member Aug 16, 2012 10,425 7,212 Mar 27, 2024 #13 Watanunua wapiga kura. Watakubali misaada ya mabeberu kwa uchaguzi ili wapate za kuhongo maana mgombea mama hakubaliki.
Watanunua wapiga kura. Watakubali misaada ya mabeberu kwa uchaguzi ili wapate za kuhongo maana mgombea mama hakubaliki.
Atlantic Star JF-Expert Member Feb 22, 2023 507 1,599 Mar 27, 2024 #15 ......duu!! ni mkoa gani hapo!!....
M Mzee wa kupambania JF-Expert Member Aug 14, 2022 17,933 43,292 Mar 27, 2024 #16 Hiki chama sijui nini kifanyike kiondoke madarakani
machafuko jr JF-Expert Member Sep 7, 2017 504 1,003 Mar 27, 2024 #18 Mjanja M1 said: Maandalizi yameshaanza. View attachment 2946191 Click to expand... Bodaboda ni kazi ya laana
Mjanja M1 said: Maandalizi yameshaanza. View attachment 2946191 Click to expand... Bodaboda ni kazi ya laana
Grahams JF-Expert Member Mar 19, 2016 11,101 34,218 Mar 27, 2024 #19 Nadhani hizi zitagawiwa Kwa Makatibu Kata ili kuwa Chachu ya Ushindi wa CCM kwenye Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa baadaye Mwaka huu. Hopefully na vyama vya Upinzani watakuwa wamepata cha kujifunza kuelekea Uchaguzi Ujao wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu
Nadhani hizi zitagawiwa Kwa Makatibu Kata ili kuwa Chachu ya Ushindi wa CCM kwenye Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa baadaye Mwaka huu. Hopefully na vyama vya Upinzani watakuwa wamepata cha kujifunza kuelekea Uchaguzi Ujao wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,028 54,321 Mar 27, 2024 #20 CCM Na Mambo Yao Zitatumika Kubeba Kura Feki