Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Licha ya picha hizi kutuaibisha duniani, Wazenji watafadhaika na kuchoka kwa miaka mingi ijayo. Waangalie Somalia. Laana ndo imeshuka Zenji. Msumbiji walichoma makanisa sababu ya ukomunist ikawachukua miaka mingi bila amani/maendeleo. Ukombozi wa kimawazo na umaskini utaletwakwa kuinua kiwango cha elimu na upatikanaji ajira/ kipato. Watu hawana kazi ndo maana wanaendesha mijadala/ maandamano ya kidini/siasa uchwara. Wanaghafilika/frustrated. Empty brain is always occupied by devil!. Pita Manzese na Ubungo mijadala ya udini inaendelea usiku. If you don't act promptly, the heat is coming, watch out for more evil chaos.
May God save our Nation!
Candid to my Country
May God save our Nation!
Candid to my Country