Hivi kwa fikra za kiundani kama ingekuwa ni Msikiti ndio umefanyiwa hivyo ingekuwaje??? Kungekuwa na Usalama?
My brother seems that you missed the dot. Hakuna kingozi wa Kanisa ametuhumiwa mahali popote kumvua mtu hijabu katika nchi yetu if you know one you may remind meKuvua hijabu vs kuchoma kanisa
nani mkorofi zaidi
hakuna tofauti na Nigeria
Rais wa nchi hadi hii leo yuko kimyaaaaa
Askofu pengo yuko wapi?
mbona hatoi tamko juu ya hili?
Mkuu msikiti nyumba ya mungu. Mkichoma hata mji mnaokaa itabidi muukimbie wenyewe