Hahshaaaaaa hio picha ya kwanza kali sana hadi akina mama wanaona aibu
Kweli mkuu ndiyo ubaya wa kujiachia sana.
Hahshaaaaaa hio picha ya kwanza kali sana hadi akina mama wanaona aibu
Pamoja na picha kuwaumbua CCM, hii video inawaacha uchi kabisaaa!
Pamoja na vita hivyo kuendeshwa mitaani, hakuna mtu aliyekamatwa wala kuhojiwa kwa sababu hakuna polisi aliyekuwa na ujasiri wa kutia mguu..!
Kwa style ya picha ya pili kutoka chini, CDM na raia wote wasio wanachama wa ccm wana kila sababu ya kupitia mafunzo ya ukakamavu, haijalishi yanaitwa redguard, whiteguard au pinkguard ili kujilinda na hawa jamaaa.