Yenu ni lazima yawashinde kwani viongozi wenu wameweka maslahi yao mbele kuliko uzalendo!! Unafikiri Shimbo kupelekwa kuwa balozi China ilikuwa bahati mbaya au mpango kabambe wa kwenda kukaba 10% ya manunuzi ya hivyo vifaa vya kivita!!!
[/COLOR]
Hata uwe na vifaa vipi, kama huna fighting spirit its useless. That's why Vietnam and Farrah Aideed kicked US's ass pamoja na madubwasha yoote waliyonayo and also they can't do sh.t in Afghanistan and Iraq!
ha ha ha anapiga chuma sio tofali
Na wale waruka sarakasi kuna mmoja akamgonga dogo kibahati mbaya. Ukiongeza na askari magereza walipoonyesha umahiri namna ya kukabiliana na mfungwa/wafungwa. Kwa kweli tunatishaLol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Huku kwetu jamaa anapasua matofali ya tope kwa mkono na kichwa juzi tunashangiliaaaaaaa!!!!
Well, ndo uwezo tulo nao huo!!!
Mbona kama vya tanzania tu sema wamarekani hawawezi kupiga kichwa tofali.
tafuta pia vya Russia,China na Israel hao wanatutisha waafrika tu!