Hii ndio inaonyesha ni kiasi gani viongozi wetu hawako serious na wananchi na inadhihirisha ubinafsi walio nao amelala fofofo huenda alikuwa ana koroma. huyo mzee ameishajichokea sijui kwanini bado hata anapewa uwaziri. hata huku kwetu Bunda tumeisha m-delete tunasubiri amalizia muda wake arudi kuuza samaki kwenye majokofu. it is shame!
Mkuu, mbona huyo anayekoroma umempunguzia masilahi yake kwa siku? Siyo 200,000 bali ni 330,000 na hii ni halali kwa sababu huyo aliyesinzia maisha yamepanda sana kwake na si kwa wengine!!
Mkuu, mbona huyo anayekoroma umempunguzia masilahi yake kwa siku? Siyo 200,000 bali ni 330,000 na hii ni halali kwa sababu huyo aliyesinzia maisha yamepanda sana kwake na si kwa wengine!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.