Picha: Usahili post ya Mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji - Uwanja wa Taifa

Hii inaamsha fikra za wengi juu ya utafutaji wa kazi!

Asante mkuu M'boo kwa kutuhabarisha lakini uchunge sana hii id yako japo umejitahidi kuiwekea hako 'koma'!
 
Mungu tusaidie. Robo ya uwanja wa taifa umejazwa na watu kwenye usahl. Nmefanya lkn cjui
 
Dah! nashukuru kwa member wenzangu kuuendeleza huu uzi. Tumemaliza aptude test, tunaangalie mchujo wa pili utakuaje. Ajira imekua tatizo sana, kulingana na hali ile ya watu wengi kujitokeza inaonesha kweli wengi hatuna kazi.
 
Umati wote huo watoke 70 tu

Huo ni uhuni wakuharibu nauli za wadogo zetu haina haja kuwambia watu waaply alafu ukaita wote km una elimu kidogo ya hesabu ukitafuta probability ya kuchaguliwa hapo ni 0
 
bora viongozi waone tatizo la ajira, nyomi lote hilo na bado lingine linakuja mtaani mwaka huu, tunasifia vyuo vingi wakati hatujatengeneza mazingira ya ajira.
 
Watu ni wengi sana na bado wanazidi kuja, kama ni mechi basi ni sawa na wale wanaoingia katika mechi za simba/yanga wanapocheza na timu za mikoani.

Ulinzi naona ni jukumu la askari magereza.

ImageUploadedByJamiiForums1402650763.890274.jpg ImageUploadedByJamiiForums1402650796.703666.jpg
Hii haijawahi kutokea Bongo
 
Watu ni wengi sana na bado wanazidi kuja, kama ni mechi basi ni sawa na wale wanaoingia katika mechi za simba/yanga wanapocheza na timu za mikoani.

Ulinzi naona ni jukumu la askari magereza.

Ila mbona inaonekana wengine wazee au ni picha imewakuza? tatizo lingine wengine wana ajira tayar ila wanataka kukimbia ajira zao za zaman na kuingia serikalini na hata wengine niwaajiriwa wa serikali hasa walimu naomben jaman km mtu una ajra tayar waachie wadogo zetu wanaotoka shule tuache tamaa!
 
Nimefika uwanja wa taifa mida ya saa kumi na mbili asubuhi nikakuta watanzania washafika wakisubiri sintofahamu watu zaidi ya buku teni kuwania nafasi sabini ilipotimia mida ya saa moja wasaka ajira wakawa shazi kwa hili serikali ijipange upya!!
 
Hii inaamsha fikra za wengi juu ya utafutaji wa kazi!

Asante mkuu M'boo kwa kutuhabarisha lakini uchunge sana hii id yako japo umejitahidi kuiwekea hako 'koma'!

Pamoja sana, kuhusu ID ni jina langu hivyo nikaona sio mbaya nikalitumia hapa pia.
 
Ila mbona inaonekana wengine wazee au ni picha imewakuza? tatizo lingine wengine wana ajira tayar ila wanataka kukimbia ajira zao za zaman na kuingia serikalini na hata wengine niwaajiriwa wa serikali hasa walimu naomben jaman km mtu una ajra tayar waachie wadogo zetu wanaotoka shule tuache tamaa!

Mkuu, umenena ukweli maana wengine wame park mikoko ya ukweli tu, ila wengine tuliua winga kwa miguu tu. Uenda Migration kuna maslahi zaidi.
 
Pamoja sana, kuhusu ID ni jina langu hivyo nikaona sio mbaya nikalitumia hapa pia.

Katika walioitwa Usaili Uhamiaji, hauna mwenye jina kama ilo M'boo mbona? Au umelitafsiri tu kwa lugha nyengine? :msela:
 
Last edited by a moderator:
Katika walioitwa Usaili Uhamiaji, hauna mwenye jina kama ilo M'boo mbona? Au umelitafsiri tu kwa lugha nyengine? :msela:

Mkubwa haya majina ya ukoo huwa Mtihani kidogo ila nimemuomba mod anibadilishie kama litaonekana lina ukakasi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom