Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Mi nilipatwa na wasiwasi juu ya Rais kutembelea eneo la tukio, badala ya kulaani na kuahidi ku deal na wavunja amani naye anasema mtoto kafanya kitendo kibaya. Sawa mtoto amekosa, na ni umri wake bado haujafikia mtu mzima, ukiangalia uharibifu uliotokea kwa njia moja ama nyingine amewaunga mkono hao waliokuwa nanajaribu kuhukumu kwa kuchoma makanisa na kupora vitu makanisani, hivi kweli vitu vilivyo porwa ni issue ya huyo mjamaa kushindwa kutoa strong argument? Huyu jamaa inaonekana yuko nyuma yao!