The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,356
- 4,654
Hawachelewagi kusema hapo ni USA Obama akifanya kampeni zake! Ila madhari na rangi ya watu itawaumbua
we binti tulia na legeza makalio ili mtalimbo upenye...onyesha picha yako yenye hao watu miambili!!
Hahahahahaha uwongo mimi nopo hapa nyamagana hakuna kitu kamahicho watu ni wachachee kweli hata 200 hawafiki teh teh teh viva lowassaaaaàaaaaa
Hata kama baadhi hatuipendi cdm lkn ukweli utabaki kweli . Mwanza ilikuwa imependeza.lkn sera ndoo zero.kwa watu walikuwepo wakutosha haswa
Siku zinavyozidi kwenda utahamia ukawa ..karibu Sana
Kwa kuongezea ni kwamba UKAWA mnafanya promotion ya awareness ya afya yake tu
Picha za Ukawa zinazidi kuchakachuliwa siku hadi siku.
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
Hahahahahaha uwongo mimi nopo hapa nyamagana hakuna kitu kamahicho watu ni wachachee kweli hata 200 hawafiki teh teh teh viva lowassaaaaàaaaaa
Kweli, naona waarabu tupu!Picha niza Libya mkuu.