Wewe sema hapo ni wapi naona unataka kuanzisha League hapa ndani. Wengine sie ni wakazi wa mwanza uwanja wa furahisha ni mkubwa saana unakaribia mita 300 kwa ukubwa. na mwanza kama huijui ulizaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.