Video ingetoa very strong evidence.
Acha kuhalalisha rushwa bibieSasa wale nini na maisha magumu kama mawe?
Kwa namna maisha yalivyo ghali watu wenye kipato kinachoweza kuitwa cha chini lazima wafanye mipango mingine ili kutosheleza mahitaji ya familia. Inasikitisha ila hiyo ndio hali halisi. . .
Sasa wale nini na maisha magumu kama mawe?
Kwa namna maisha yalivyo ghali watu wenye kipato kinachoweza kuitwa cha chini lazima wafanye mipango mingine ili kutosheleza mahitaji ya familia. Inasikitisha ila hiyo ndio hali halisi. . .
Utrafic bila kipima mwendo sio kamili. I hate kale kadude kweli
Duh, mchana kweupeee chini ya mwembe, halafu gari wamelipaki kuelekea brabarani kila mpita njia anapata taswiras bomba kabisa. Nampongeza sanautundu wa aliyechukua taswira hii, kumbe mambo bado kabisaa?
mahakama ikihusishwa hapo watashinda kesi'sioni hela anayokabidhiwa
Traffic waliopo barabara kuu eneo la Bwawani Chalince-Morogoro wakipokea rushwa. Raia mwema aliyesafiri na kuwanasa hawa traffic wakipokea rushwa alikaa kwa muda katika eneo hili na kuwapiga picha. Vijana walioandaliwa wakijishughulisha kama wanasafisha gari ili kuwa kizingizio huku wao wakiendelea na zoezi la kukabidhiana rushwa. Askari hao baada ya kubaini mdau huyo amewapiga picha walimfuata ndani ya bus alilokuwemo na kuanza kupambana naye lakini mpiga picha aliwazidi ujanja na kuwashinda. Kairusha picha hii kupitia mdandao wa Michuzi.
Serikali inataka kupambana na rushwa?..wangeanza kwanza na kuondoa hicho kidude chao kinachosaidia Traffic kuchukua pesa za watu kwa unyang'anyi! Kisha wawanyang'anye hayo magari wanayowapa na kuwawekea petroli ili wakakimbize rushwa vizuri.Tatu wawakague traffik kama hawajawakuta na vitabu bandia vya notification!
wao wanajilipa posho bungeni sasa polisi unataka wafanye niniAcha kuhalalisha rushwa bibie