Kamanda Sugu alisema, na Mnyika alikuwepo, watu walikuwa nyomi sikumuona,was so good,VIP ilikuwa kweli VIP, round table, kwa Mwana Fatuma japokuwa ilikuwa ni fifty, watu walikaa kama kwenye seminer ya maCCM, shame on you MwanaFatuma na redio yao ya wafu