PICHA; Taswira mahakama kuu leo!!

Yaani ni kheri angeshnda Aesh WA Sumbawanga kuliko huyu Mahanga si alikamatawaga na mabox ya kura uyu au vyombo vya habari vilitudanganya?
Yaani hapo tu ndiyo nilipoachwa mdomo wazi!! JK kaona atakosa wakusukia baraza jipya, huyu jamaa lazima awepo!!
 
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anaposhindwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.
Hivi ushadi kama uliotolewa na mpendazoe kama CCM Arusha wangetoa uchahidi wa wazi namna hiyo kuna mtu angelala mika kuwa Lema kaonewa...Lakini leo cha ajabu ushahi uliowazi kabisa unatumbiliwa mbali halafu mnasema tuwasifu majaji....Watende haki bila kubalance kama marefa wa Tanzania....
 
ninawaza hili jambo la watu wachache,wateule kuwa juu ya sheria.Kinachoonekana mara baada ya kukamatwa na masanduku ya kura mkuu wa kituo cha polisi buguruni aliamrishwa na wenye nguvu asiandikishe tukio hili kwenye Report Book ya Polisi yaani RB.Polisi huyu kwa kuchunga kibarua hakuweza kuikana ajira aende Mahakamani aseme bla lba bla na aseme alivyoamrishwa.Je ukionesha CV ya uwongo kuwa unayo PhD ukijua kuwa umeinunua siyo kosa katika sheria za uchaguzi?Mimi namwomba Mpendazoe kwanza aangalie uwezekano wa rufaa baada ya kesi kupitiwa na mawakili Tundu Lissu, Marando, Mbogoro,Kimomogoro, na huyo Kibatala kama interim measure.Sasa wana CDM wa Segerea mna miaka mitatu ya kujenga CDM Segerea na wakati Mpendazoe anatafuta haki Chama kijengwe watu wakae mkao wa uchaguzi ili tusikosee popote 2015.Kwa hali yoyote kuna systemic corruption hapa nchini kwenye EXECUTIVE na JUDICIARY na woga au nidhamu ya woga na hii ni liability kubwa sana kwa HAKI.Namwamini Shabaan Robert kuwa -KWELI ITASHINDA KWELI KAMA SI LEO NI KESHO
 
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anaposhindwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.

Nilijua hii ndiyo itakuwa argument kubwa sana ya CCM. I am not in favour of bi-elections zinazimaliza hela ya walipa kodi, ila kama kuna slum dunk evidence kuwa mtu kaiba kura na video zipo basi ni dhahiri kuwa tunahitaji si tu kutoa haki bali kuonekana kuwa haki imetendeka.

Hata siku moja wapinzani hawawezi kuvuruga uchaguzi na tunakoelekea ni kwamba wasimamizi wa uchaguzi wa CCM watakuwa wanapindisha sheria makusudi maeneo wanayodhani kuwa wapinzani watashinda kwa nguvu y umma ili ushindi ukatenguliw mahakamani.
Tunahitaji kuwa na sheria zinazotaka mtu asipewe certificate of being elelcted mpaka kesi imalizike mahakamani. Maana yake ni kuwa Immediately baada ya kura kuhesabiwa mtu kuonekana ameshinda ama kwa kutangazwa hatakiwi kupewa cheti cha ushindi certified election results certificate within 10 working days after election. ili mgomea anayeona ameonewa aende mahakamani kupinga na mahakama iwe na uweza wa kutoa order ya recount of votes ili kila kitu kiwe kimeisha withing two months after elections.

masuala ya rushwa katika uchaguzi yawe yanashughulikiwa na TAKUKURU na pindi mtu akithibitika mahakamani basi automatic anakuwa amepoteza ubunge wake, Ili wabunge wakianza kazi inakuwa ni kazi za wananchi tu bila kuwa na kesi yoyote ya uchaguzi, ila hili linawezekana kama tutakuwa na serikali za majimbo basi. Tume ya uchaguzi iwe na kazi kuu mbili, moja kuboresha daftari la wapiga kura na kuhakikisha only eligible citizen are allowed to vote, mbili kuandaa uchaguzi na kudisplay results na ku-certify reuslts kutoka vituo vyote. Mshindi aatajulikana ni mwenye kura nyingi na hii iwe wazi kwa kila mtu kujumlisha na kumjua mshindi huyo. Hii itaondoa pressure kwa wasimamizi wa uchaguzi kutumiwa na wanasiasa kutangaza uhuni kama tulivyoona Shinyanga 2010. Iwe hivyo kwa kura za urais, na isheria iweke wazi kabisa kuwa baada ya kuhesabiwa kura matokeo yote yatangazwe vituoni, yaani ya urais mpaka udiwani na hiyo ifanyike within masaa mawili baada ya vituo kufungwa. Vyombo vya habari viwe huru kutangaza na kujumlisha matokeo nchi nzima. Kifungo cha maisha kwa atakayevuruga uchaguzi kwa makusudi, ili kulinda amani.

Hii itaepusha matumizi ya pesa katika kurudia chaguzi. Nina hakika kabisa kuwa kama mahakama inatoa maamuzi 10 days after elections maana yake haki itatendeka ila 1 year or two years maana yake ni upuuzi na watsage of time and resources. Kesi zisiwe za ku-nullify uchaguzi bali ziwe za kunullify mshindi na kumtangaza mshindi halali
 
HAKUna aliyeshindwa wala aliyeshinda mi naamini mahakama za Rufaa kuliko hizi mahakama ambazo anakaa mtu mmoja wale wengi ndio watanionyesha haki na uwezo wao wa kufikiri bila Bias

Mkuu naona umesahau mambo ya mgombea binafsi ambayo yalitolewa na Mahakama ya Rufaa!
 
Wazazi jaji juma tuna mjua alikuwa anampaisha ridhiwani pale chuo dogo akila sifuri anambeba mpaka kamaliza chuo watu waliosoma udsm law wakati moja na ridhiwani wanalielewa hilo ,so hawezi kuangusha chama gaba..................mziki rufaa
 
Michuzi always kama Chadema wanapoteza kitu huwaga yeye ndio wa kwanza kutoa kila kitu mara utasikia Mbunge wa Ccm katema cheche mara sasa hizi taswira bila shaka leo ana raha sana yeye si mwana Gamba maake naona kile kiblog chake kila leo kiko Ikulu ya Gamba mkubwa duuh njaaaaa njaaaa njaaa jamani inaacha siku hizi hata wanaume wanajiuza na hata kuwekwa kinyumba
 
Nimeona kupitia itv hata wale waliobeba bendera za ccm wanaonyesha alama za vidole viwili wakiimba mafisadi mafisadi!
 
ninawaza hili jambo la watu wachache,wateule kuwa juu ya sheria.Kinachoonekana mara baada ya kukamatwa na masanduku ya kura mkuu wa kituo cha polisi buguruni aliamrishwa na wenye nguvu asiandikishe tukio hili kwenye Report Book ya Polisi yaani RB.Polisi huyu kwa kuchunga kibarua hakuweza kuikana ajira aende Mahakamani aseme bla lba bla na aseme alivyoamrishwa.Je ukionesha CV ya uwongo kuwa unayo PhD ukijua kuwa umeinunua siyo kosa katika sheria za uchaguzi?Mimi namwomba Mpendazoe kwanza aangalie uwezekano wa rufaa baada ya kesi kupitiwa na mawakili Tundu Lissu, Marando, Mbogoro,Kimomogoro, na huyo Kibatala kama interim measure.Sasa wana CDM wa Segerea mna miaka mitatu ya kujenga CDM Segerea na wakati Mpendazoe anatafuta haki Chama kijengwe watu wakae mkao wa uchaguzi ili tusikosee popote 2015.Kwa hali yoyote kuna systemic corruption hapa nchini kwenye EXECUTIVE na JUDICIARY na woga au nidhamu ya woga na hii ni liability kubwa sana kwa HAKI.Namwamini Shabaan Robert kuwa -KWELI ITASHINDA KWELI KAMA SI LEO NI KESHO
Umeongea vema sana mkuu ushauri mzuri.
 
Connecting the dots............ It sound like someone we know................FF!!!!!!

Faiza Foxy (FF) = Lady
Magreth Thatche = Lady

FF wants to equate herself with Magreth, then she comes to,
Iron lady (Ms Thatcher) = Iron2012 (FF), duh!!
 
Najua mtasema sana mtahuzunika sana ila wakati ni sasa tume ya katiba tunayo ikifanya madudu tunaiwajibisha kwenye referendum tutoe mapendekezo yetu ya msingi ikiwa ni pamoja na kumnyanganya Rais madaraka ya kuteua washkaji zake bila kuzingatia weledi,usafi/integrity kwa wale wote wanaoshika sensitive posts za nchi yetu waamuzi wakiwemo wakati ni sasa tume ya mheshimiwa Warioba na wezake haya ndio mapendekezo yangu mengine zaidi ntayawasilisha binafsi au kwa kupitia njia za mawasiliano mnazozitambua
 
Hivi ushadi kama uliotolewa na mpendazoe kama CCM Arusha wangetoa uchahidi wa wazi namna hiyo kuna mtu angelala mika kuwa Lema kaonewa...Lakini leo cha ajabu ushahi uliowazi kabisa unatumbiliwa mbali halafu mnasema tuwasifu majaji....Watende haki bila kubalance kama marefa wa Tanzania....
Nafikiri bado kuna nafasi ya kukata rufaa. Tufanye hivyo. But tukisimama mbele za watu na kulalamika tutaonekana wa ajabu. Kwanini kesi tunazoshindwa tu ndo tunasema tumeonewa halafu tunazoshinda hatusemi chochote?
 
Back
Top Bottom