PICHA; Taswira mahakama kuu leo!!

Kiganyi

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,242
765
wafuasi+wa+Chadema+baada+ya+hukumu.JPG

Makongoro+Mahanga+akizungumza+na+waandishi+wa+habari+baada+ya+kusomwa+kwa+hukumu+ya+kesi+ya+kupinga+matokeo+ya+uchaguzi+katika.jpg

Makongoro+akiwapungia+mkono+wafuasi+wa+CCM.JPG

akipongezwa+baada+ya+kusomwa+hukumu.JPG

mpendazoe+baada+ya+hukumu.jpg

Baadhi+ya+wafuasi+wa+Chadema+wakiwa+nje+ya+jengo+la+Mahakama+Kuu+Kitengo+cha+Biashara+ambapo+kesi+hiyo+ilitolewa+hukumu+yake.J.jpg


Naona leo michuzi kaziwahisha sana!!
 
ni lini mahakama zetu zitakuwa huru?
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anaposhindwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.
 
kwa mwenendo wa kesi ulivyo kuwa, siamini kama maamuzi ni ya haki
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anapondwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.
 
... Naaam, Freedom is coming soon to our Justice system in the country. Walalahoi kote nchini wala msifadhaike kitu hivi leo.
 
Yaani ni kheri angeshnda Aesh WA Sumbawanga kuliko huyu Mahanga si alikamatawaga na mabox ya kura uyu au vyombo vya habari vilitudanganya?
 
HAKUna aliyeshindwa wala aliyeshinda mi naamini mahakama za Rufaa kuliko hizi mahakama ambazo anakaa mtu mmoja wale wengi ndio watanionyesha haki na uwezo wao wa kufikiri bila Bias
 
Back
Top Bottom