ni lini mahakama zetu zitakuwa huru?
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anaposhindwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.ni lini mahakama zetu zitakuwa huru?
Wakati mwingine tujitahidi kuwa neutral, yaani mahakama zinakuwa siyo huru pale tu anapondwa wa CHADEMA, lakini tukishinda, tunapongeza na wala hatuna habari ya kujua kesi ilikuwaje. Kwa wengi tusiyejua sheria, nafikiri ni vema kuwa wapole na kuwasikiliza wataalamu wa sheria juu ya makosa ya kiufundi yaliyofanyika ama katika ufunguaji wa kesi au utaratibu mzima wa uendeshaji kesi.
Leo baada ya judgement ya mahanga
Siku CCM ikiwa upinzani mtalia mkitembea!!!!!Katika vyama bora nchi hii ni CCM hongera sana Mahanga.........CDM imekula kwao.
Lazima awahishe chama chake kimeshinda,umesahau yeye si mwandishi huru
Naona leo michuzi kaziwahisha sana!!
Katika vyama bora nchi hii ni CCM hongera sana Mahanga.........CDM imekula kwao.