Leo hii tarehe 14/9 mhe. Rais Dkt Samia kawaapisha majaji wapatao 19.
Ndani ya miaka miwili Rais ametendelea kuteua majaji wengi wa mahakama kuu na Rufaa.
Tunaomba sasa mahakama kuu zijengwe kila mkoa ili kuwarqhisishia wananchi.
Kwa sasa tunaomba Majaji hao waletwe kwenye mikoa ya pembezoni ambayo inauhitaji mkubwa, wasilundikwe mijini tu.
Ndani ya miaka miwili Rais ametendelea kuteua majaji wengi wa mahakama kuu na Rufaa.
Tunaomba sasa mahakama kuu zijengwe kila mkoa ili kuwarqhisishia wananchi.
Kwa sasa tunaomba Majaji hao waletwe kwenye mikoa ya pembezoni ambayo inauhitaji mkubwa, wasilundikwe mijini tu.