Kaka sijaelewa hebu nifafanulie kidogo, kwamba ccm ndio wamekwenda kumuekea hizo silaha ndani mwake au??Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?
Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.
Silaha sioni shida kukutwa nazo, sasa hizo risasi nyingi hivyo anakuwa nazo kwa kazi gani hasa??
Silaha sioni shida kukutwa nazo, sasa hizo risasi nyingi hivyo anakuwa nazo kwa kazi gani hasa??
Mansoor himid,aliyewahi
kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia
ni shemeji wa rais karume,
Akutwa na silaha hizi
mansoor alikua ccm jina moyo wake cuf na amani karume hawezi kuepuka lawama ya huyo shemeji yake kuyumbisha nchi kuhusu suala la mafuta.Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume,
Akutwa na silaha hizi
Ni uongo tu ni mambo ya kupanga tu ccm wameishiwa mbinu wanajaribu kuwatumia inteligencia wao kubuni mbinu za kudhoofisha mapambano, ngoma imebana 2015 wanaachia tu
Kaka sijaelewa hebu nifafanulie kidogo, kwamba ccm ndio wamekwenda kumuekea hizo silaha ndani mwake au??
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume,
Akutwa na silaha hizi
Ni mipango ya ccm tu, mbona hawakumtilia shaka hapo kabla alipokuwa waziri na mwakilishi? ni chuki za ccm tu, mbona hawajaenda kumpiga search balozi seif ali iddi? Steven wassira? Mohd Abud nk?
Ni njama za ccm kujaribu kutaka kumdhoofisha lakini Wazanzibari tumemkubali 2015 mbele kwa mbele, ccm inayumba sasa njia zote zimekwisha bado tunao usiku na mchana.
Beleshi la dhahabu la mkapa lipo wapi?mrema alikamata dhahabu uwanja wa ndege zilikua za vigogo zipo wapi?silaha za kivita alizokua nazo Adam Malima zipo wapi?