Ni baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF kujiunga na ACT Wazalendo Zanzibar imekuwa kama siasa ndio sinaanza sasa ni shamra shamra wananchi wanaonekana na T-shirt za ACT Wazalendo kila mahali na matawi yote kupepea bendera za ACT Wazalendo mapokez ni babkubwa.