Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
- Thread starter
- #41
Jamaa wamefunga midomo manake ni vitendo tu!! da!
.....Hapo Kura haiibiwi !!!
Jamaa wamefunga midomo manake ni vitendo tu!! da!
Msitutishe na hawa kike wa kwenu.
View attachment 217280
Hata sie tunao wa kwetu wa kike. Ona mwenyewe ha ha ha
View attachment 217282
View attachment 217283
View attachment 217284
hawa ni wanafiki sijapata ona!..... kifie mbali iki chama cha mafisadi.
Hao sio watu mkuu ni misukule
hawa ni wanafiki sijapata ona!..... kifie mbali iki chama cha mafisadi.
Bangi bwana...!
....
....ha ha ha ha !!!
sheri na belaa umugongo na pasi ayii mama ..na belagaa na viti maalum nabelagaaa...aisee PEPEKALE !!!
![]()
Ndomana hii nchi imelaaniwa, ona viburudisho vya ....... vimeweka foleni ili kumnengulia, Nyerere hanaga upuuzi kama huu
Sugu,Sugu alaaaaaaa! na hiyo ni jana ktk viwanja vya Ruanda-nzovwe.Mbeye stand up!! CHADEMA ONE WAY