CBS?Peter S ni mmarekani, mwandishi wa habari. Ndiyo mwandaaji na muongozaji wa vipindi vya THE ROYAL TOUR ndani ya Shirika la habari la usambazaji matangazo la umma huko Marekani PBS.
CBS?Peter S ni mmarekani, mwandishi wa habari. Ndiyo mwandaaji na muongozaji wa vipindi vya THE ROYAL TOUR ndani ya Shirika la habari la usambazaji matangazo la umma huko Marekani PBS.
Huna akili za kutumia hata common sense?Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Wewe huna matatizo? Jitathmini.Una matatizo!!
Hakuna zero distance au hakuna 1M distance? Mi naona zero distance
Hiyo ni roho ina chuki,na kinachoshangaa hicho ni mwili!Sijui kwanini nimejisikia vibaya namna hii kwa hii picha!!
Hujaeleweka, tulia uandike vizuri.Hiyo ni roho ina chuki,na kinachoshangaa hicho ni mwili!
yaaani wewe.. hatari sana umefanya nicheke kwa sautiMkuu tafuta mwenyewe hiyo hotuba ya Mwl. Nyerere ya tar 22/Jul/1967.
Unasumbuliwa na kihoro...Sijui kwanini nimejisikia vibaya namna hii kwa hii picha!!
Urais ni taasisi inayohitaji high degree of decency. Wanavyomchukulia Rais wetu ndivyo wanavyoichukulia nchi yetu.Unasumbuliwa na kihoro...
Siyo mambo ya covid tu, maudhui ya hiyo picha hayako Sawa kwa Rais wa nchi!!Zero distance mkuu. Maana Covid is real
Labda covid 19 ilikuwa inamtafuta Hayati JPM.maana alipofariki tu wimbi Kali liliondoka!! Mashambulizi kutoka kwa wapinzani kwenda kwa JPM kuhusu corona yalikuwa mengi sana jamani.JPM jipumzikie kwa amani huko uliko!! Osama bin laden aliuawa baada ya chanjo feki kutumia kuwadunga wajukuu zake !!Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Mama inaelekea hajawahi shikwa mkono na mumewe, ona alivyo na tabasamu....Mze Peter shikamoo👏Walinzi wa rais wanachemka sana, ikumbukwe kuchanja Jonhson and Jonhson sio uhakika wa kutopata maambukizi ya Uviko -19
View attachment 1933608
Hiyo ni acting tuSiyo mambo ya covid tu, maudhui ya hiyo picha hayako Sawa kwa Rais wa nchi!!
Au ndio ile yenye vionjo vya ..Mkuu tafuta mwenyewe hiyo hotuba ya Mwl. Nyerere ya tar 22/Jul/1967.
Angeweza kufanya hiyo acting kwa staha zaidi kama Rais wa nchi na ujumbe ukafika vile vile!Hiyo ni acting tu