PICHA: Rais Samia Akiwa Na Pistol Mkononi Akiwa Ameishika Kikakamavu na Kikomandoo

PICHA: Rais Samia Akiwa Na Pistol Mkononi Akiwa Ameishika Kikakamavu na Kikomandoo

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
"Komandoo" wa, kukata gogo
 
Mbona mamaduro kakonda namna hiyo? Halafu hiyo sio bastola chawa nenda kagoogle hako kamashine cha kufyatulia tear gases na brankoo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Screenshot_20260212-145525~2.png
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Tuna Rais Mwenye Hadhi ya Uamiri Jeshi Mkuu Wa Kuongoza Majeshi yetu yote na kutoa Amri kwa Vikosi vyote. Rais Samia ni Mtu na Nusu . Sijapata Kuona Mama Na kiongozi Shupavu na mahiri kama Rais Samia kwa Miaka ya hivi karibuni. Inaleta raha sana kuongozwa na Kiongozi aina ya Rais Samia. Kwa sababu unakuwa huna wasiwasi wala hofu ya aina yoyote ile

Ni kiongozi mwenye utimamu wa akili na Mwili.mwenye uwezo wa kufanya maamuzi Magumu na yenye tija. Ni kiongozi mwenye uwezo na nguvu ya kufanya kazi kwa saa 24 Usiku na mchana bila kupumzika.

Kwa hakika Mikononi Mwa Rais Samia Tupo Kanaan . Tuweni na Imani na Mama yetu . Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu aliyemuinua na kumpa kibali Rais wetu Mpendwa Atatuvusha katika kila mtihani utakaojitokeza mbele yetu kama Taifa. Hakuna kilele ambacho tutashindwa kufika Kama Taifa.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3548131
Kuna vitu vinafanana sana lakini viko mbali kabisa.
Hekima imefanana sana busara lakini ni vitu viwili tofauti. Hekima ni karma ya Roho Mtakatifu, inatoka kwa Mungu. Busara ni akili ya kibinadamu iliyojaa maneno matamu na ya kilaghai ili kuufarahisha umma, busara haina suluhisho la kudumu Bali hupooza hasira au ukali wa Jambo kwa muda mfupi tu.

Upole ni karama ya Roho Mtakatifu, imetoka kwa Mungu, mtu anaweza kuwa muongeaji sana ana vituko na vibweka vingi lakini Nani mwake akawa ni mpole aliyejawa na matendo ya huruma na mwenye hofu ya Mungu.

Ukimya ni hali ya kukaa kimya tu ili uonekane mbele za watu kwamba wewe ni mpole lakini katikati ya ukimwa wako huo ukawa ni mkatili, muuaji na mshenzi na dhalimu daraja la Kwanza.

Sasa ndugu wewe uliyeua maelfu ili utamalaki, alipokufa jirani yako kwa kuuawa kinyama ulisema kifo ni kifo tu, msilete taharuki.

Watoto wa mjomba wako wanatekwa wanapotezwa na kuuawa unaona POA tu.

Juzi kati umeamuru watoto kutoka nchi jirani waliuliwe kwa makumi elfu, Mara tena ukasema sio watoto wa majirani ila watoto wa mdogo wako.

Hukuwahi kuonesha kujuta wala kutubu kwa uovu huo, hadi sinagogini wakakusuta, sasa ndio unajidai kuasili mtoto.

Watanzania sio mazumbukuku, wewe ni muuaji, wewe ni Yezebeli unayenuka damu za watu wasio na hatia.

Umeasili mtoto ili upate bebeo la kisiasa na utengeneze kiki ili kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, na ChoiceVariable wakuone wewe ni mtu wa maana kumbe kibwengo tu
 
Kuna vitu vinafanana sana lakini viko mbali kabisa.
Hekima imefanana sana busara lakini ni vitu viwili tofauti. Hekima ni karma ya Roho Mtakatifu, inatoka kwa Mungu. Busara ni akili ya kibinadamu iliyojaa maneno matamu na ya kilaghai ili kuufarahisha umma, busara haina suluhisho la kudumu Bali hupooza hasira au ukali wa Jambo kwa muda mfupi tu.

Upole ni karama ya Roho Mtakatifu, imetoka kwa Mungu, mtu anaweza kuwa muongeaji sana ana vituko na vibweka vingi lakini Nani mwake akawa ni mpole aliyejawa na matendo ya huruma na mwenye hofu ya Mungu.

Ukimya ni hali ya kukaa kimya tu ili uonekane mbele za watu kwamba wewe ni mpole lakini katikati ya ukimwa wako huo ukawa ni mkatili, muuaji na mshenzi na dhalimu daraja la Kwanza.

Sasa ndugu wewe uliyeua maelfu ili utamalaki, alipokufa jirani yako kwa kuuawa kinyama ulisema kifo ni kifo tu, msilete taharuki.

Watoto wa mjomba wako wanatekwa wanapotezwa na kuuawa unaona POA tu.

Juzi kati umeamuru watoto kutoka nchi jirani waliuliwe kwa makumi elfu, Mara tena ukasema sio watoto wa majirani ila watoto wa mdogo wako.

Hukuwahi kuonesha kujuta wala kutubu kwa uovu huo, hadi sinagogini wakakusuta, sasa ndio unajidai kuasili mtoto.

Watanzania sio mazumbukuku, wewe ni muuaji, wewe ni Yezebeli unayenuka damu za watu wasio na hatia.

Umeasili mtoto ili upate bebeo la kisiasa na utengeneze kiki ili kina Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, na ChoiceVariable wakuone wewe ni mtu wa maana kumbe kibwengo tu
Jitu kama wewe inafaa upigwe risasi hata asubuhi hii uondoke Duniani maana ni hasara kuendelea kuwepo
 
Back
Top Bottom