Picha: Rais Mstaafu Dk.Jakaya Kikwete akivuna mahindi shambani na Mke wake Salma Kikwete

That's right, photo opportunity, na lengo lake hasa ni kumrahisishia kazi Magufuli. Headlines za jana zilisema Serikali imepata kigugumizi kutwaa shamba la Rais Mwinyi ambalo ameshindwa kuliendeleza Morogoro. Ilibidi leo Kikwete akimbie shambani na camera kuonyesha la kwake analiendeleza.
Maraisi wastaafu pia wanapelekeshwa mchaka mchaka....shamba walinunua kwa pesa zako halafu litaifishwe kisa hujaliendeleza....sio haki hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu bana.
Wanataka Jk aende kuvuna huku kavaa ndala au yeboyebo hahaahahhaha....

Kuna watu wanaheshimu viatu mpaka wanaamini haiwezekani mtu akaenda navyo shambani.

Viatu si kwa ajili ya kupendeza ni kwa ajili ya kulinda miguu
Tukianza na viatu alitakiwa avae Gumboots( huu ni ulinzi wa ajali nyingi), suruali alitakiwa avae JEANS(isiwe ya kubana), kisha avae shati au fulana(kutegemea na mazingira), pia angevaa kofia aina ya Parma(wakulima tunapendelea zile za kienyeji)

Kama hujaelewa waweza kuuliza
 
Mzee wa Msoga nae tupo nae kwny orodha ya wanaosubiria Noah maana nmesikia tetesi kuwa vitatumika vichinjio vya 2015 kugawia
 
Ghazwat, Hongera kwa mstafu kuthamni kilimo.Wabongo hawali sana mahindi ya njano! Wale wa miaka 1980s yanaitwa mahindi ya yanga, yaliletwa toka USA kukabiliana na njaa baada ya vita ya Kagera. Hoja, nimewahi soma mahali,kuna nchi nadhani Ugiriki inayataka sana hayo mahindi yaani hayo ya njano. Iwapo kuna soko la uhakika tafadhali, tuunganishwe ,Mimi nalima mahindi tatizo ni soko la uhakika! Mwaka 2014/2015 ndio niliona faida ya kilimo baada ya kuuza NFRA-Dodoma bei ya kilo@500 na fedha kuingizwa kwenye akaunti ,fedha kubwa nyingi mara moja! Iwapo Mstaafu, anasoko tafadhali tunaleta hapo chalinze , kinakuwa kama chama cha ushirika mfano wa vyama vya ushirika Kule Lindi na Mtwara kwa zao la Korosho! Faida ya korosho ya inayosemwa huko Kusini Leo, inasafari ndefu sana. Wamakonde wale hawakutaka kuuza mahindi kwenye vyama vya ushirika, kulikuwa na watu wananunua rejareja kama ilivyo mahindi,kwa njia inaitwa Kangomba. Waliofaidika ni middlemen kama ilivyo kwa mahindi sasa hivi nchini. Kuinua uchumi wa Kaya ni kuwezeshwa kisoko! Kama soko hili lipo, tafadhali nisiachwe! Thanks,
 
Ghazwat, Hongera kwa mstafu kuthamni kilimo.Wabongo hawali sana mahindi ya njano! Wale wa miaka 1980s yanaitwa mahindi ya yanga, yaliletwa toka USA kukabiliana na njaa baada ya vita ya Kagera. Hoja, nimewahi soma mahali,kuna nchi nadhani Ugiriki inayataka sana hayo mahindi yaani hayo ya njano. Iwapo kuna soko la uhakika tafadhali, tuunganishwe ,Mimi nalima mahindi tatizo ni soko la uhakika! Mwaka 2014/2015 ndio niliona faida ya kilimo baada ya kuuza NFRA-Dodoma bei ya kilo@500 na fedha kuingizwa kwenye akaunti ,fedha kubwa nyingi mara moja! Iwapo Mstaafu, anasoko tafadhali tunaleta hapo chalinze , kinakuwa kama chama cha ushirika mfano wa vyama vya ushirika Kule Lindi na Mtwara kwa zao la Korosho! Faida ya korosho ya inayosemwa huko Kusini Leo, inasafari ndefu sana. Wamakonde wale hawakutaka kuuza mahindi kwenye vyama vya ushirika, kulikuwa na watu wananunua rejareja kama ilivyo mahindi,kwa njia inaitwa Kangomba. Waliofaidika ni middlemen kama ilivyo kwa mahindi sasa hivi nchini. Kuinua uchumi wa Kaya ni kuwezeshwa kisoko! Kama soko hili lipo, tafadhali nisiachwe! Thanks,
Pamoja mkuu.. Hatutasita kukujulisha
 
Back
Top Bottom