Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
"Tunakamilisha msimu wa mavuno Kijijini Msoga, Chalinze. Umekuwa msimu mzuri", aliandika Rais mstaafu Kikwete kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Kumbe kuna kanuni za kuvuna?Kuvuna gani huko na saa na simple shoes aseme tu alienda kujiselfisha tumjue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa..!Watu bana.
Wanataka Jk aende kuvuna huku kavaa ndala au yeboyebo hahaahahhaha....
Kuna watu wanaheshimu viatu mpaka wanaamini haiwezekani mtu akaenda navyo shambani.
Viatu si kwa ajili ya kupendeza ni kwa ajili ya kulinda miguu