Hahaha kaongelea miundombinu sio mabomu. We mwanajeshi?!Yeah wako vzr kama kweli USA na washirika wake wanajiamini warushe hata bomu hapo kinuke hawawez kuharibu
Ndo maana Nasemaje Kwa jinsi walivyojijenga itakuwa ni hasira sana kwao nchi yoyote ije kuharibu kitu mjini hapo thus why wakali sanaHahaha kaongelea miundombinu sio mabomu. We mwanajeshi?!
Hatuongelei magari tunaongelea miundo mbinu.Sio kila sehemu North Korea unaweza piga picha, ni selected areas tu. Na ukitaka kujua hali yao ikoje tazama barabara zao, kawaida kukuta watoto wako highway au barabara kuu katikati ya mji wakicheza maana magari ni machache.
Acha uongo ni kweli wapo vyema shida ni namna wakubwa wa dunia walivyowatangaza kwa dunia vibaya ila kiuhalisia hawapo kama tunavuyoaminishwa. NB usipokuwa unakubali rasilimali zako kuliwa na wakubwa na kukupangiwa nini cha kufanya lazima wakuchafue taswira yako usisahau tuliambiwa Russia hana uwezo wa kupigana vita miezi mitatu sasa ni kipindi gani kimepia je uchumi wake ukoje.Sio kila sehemu North Korea unaweza piga picha, ni selected areas tu. Na ukitaka kujua hali yao ikoje tazama barabara zao, kawaida kukuta watoto wako highway au barabara kuu katikati ya mji wakicheza maana magari ni machache.
wako vizuri mkuu mpaka vijijini si wenzetu hao, we si unawajua wananchi kama hali hawaielewi kuiangusha serekali ni faster tuu kwanini wasifanye hivyo jibu ni moja wamekubaliana na njia serikali yao iliyochagua kupita na wana imani nayo. Wana viwanda vingi sana wanatengeneza vitu na vipuri vingi sana trekta, tv,cm.computer,tran zao, kilimo ndio usiseme wana green house kibao na ni mwongozo wao katika kilimo kiufupi wako mbali wanaishi dunia yao.Na picha za vijiji vyake utuwekee.
Halafu unamkuta mbongo anawacheka eti wana maisha magumu wanajufa kwa njaaKumbe kiduku kwa miundo mbinu hayuko vibaya sana.
Hata Dar si ipo hivihi tu. Apatikane tu mpiga picha mzuriDah inatia hasira sana, na hapo wana vikwazo.....sie huku hakuna vikwazo ila mambo ndo hivyo tena
Treni zenyewe za SGR hadi leo ndo vile ,dar kuna treni kama zile??Dars
Hata Dar si ipo hivihi tu. Apatikane tu mpiga picha mzuri
Ye mbona harushi bloangu?Yeah wako vzr kama kweli USA na washirika wake wanajiamini warushe hata bomu hapo kinuke hawawez kuharibu
wapo vizuri mkuu.Na picha za vijiji vyake utuwekee.
Naitika okay ila siyo kinyonge.
wanajiweza hao jamaa.Naitika okay ila siyo kinyonge.