ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,452
- 11,368
Kumbe sisi kipindi tunashindwa hata kutatua hata suala la umeme na maji baada miaka 65 ya uhuru kumbe kuna nchi ziko ndani ya bara Africa zina miundo mbinu ya aina hii? Japo nilikuwa najua kuwa nchi za Africa kaskazini wana maendeleo kwa kiasi fulani kutuzidi lakini sikuwahi kufikiria iwapo wametupiga gepu kubwa kiasi hichi.
Kiufupi viongozi wa nchi zilizoko kusini mwa jangwa la sahara zikiongozwa na Tz wanatakiwa kujitathimini waache siasa za kipumbavu na ufisadi waletee raia wao maendeleo.
Morocco
Kiufupi viongozi wa nchi zilizoko kusini mwa jangwa la sahara zikiongozwa na Tz wanatakiwa kujitathimini waache siasa za kipumbavu na ufisadi waletee raia wao maendeleo.
Morocco