tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam
wewe ndo udini unakusumbua, nani kaongelea hayo hapa.... acha fikra za kibaguzi
mbona zito mwenyewe hajawahi sema na bado ni mwema kwa chama chake
acha kuleta udini kwenye vichwa vya watu