Picha nyingine zinajieleza

Picha nyingine zinajieleza

tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam
 
Hakuna swala la udini wala nini hapo .....mimi nazani niwakati wa mh zitto kurudisha mguu mmoja alioutoa nje maana makamanda wanampenda ila yeye magamba wamemfadhili hapa na pale ndo maana wadau wanakuwa na mashaka naye. Hata ukisikiliza kauli zake siku hizi ni tata tata....
Chonde chonde ndugu yangu zitto kwetu shinyanga na kigoma si mbali sasa nakushauri jirani yangu na rafiki yangu rudi kundini kikamilifu ili uondoe shaka ya watu ....mbona wewe bado kijana sanaa kwa nini kukimbilia madaraka.....??!!
 
tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam
Ndugu, mbona mtu wa kulia wa nasari ni mbowe.. udini uko wapi?...
 
usipoweza kukemea maovu ujue na ww una asili kubwa ya uovu ndani mwako wala hujitambui.kinachotuponza watzd ni kutaka umaarf usio na uzalendo.BWANA ZITO ANAANZA KUZIIRISHA ALIVYO MBINAFSI NA MWENYE UCHU WA MADARAKA NA ANATAKA VYEO NA SIFA ZA HARAKA HARAKA.Hapa hakuna anayemchkia eti kisa uislam mbona alikubalka toka zaman na ndan ya cdm mbona hakuna aliyezungumzia udini leo anakosea eti udini.jaman hachen fikila mgando.huyu mtu anadalili mbaya za kuturudsha utumwan.
 
tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam
Nduguyangu tatizo la Zito si ndege si mnyama mafisadi wa magamba wanamtumia , wewe unaona ni sawa alivyotangaza kugombea uraisi wakati anajua chama kipo kwenye kampeni Arumeru?
 
udini na ukabila unaujua wewe inamaana wote ndani ya chadema ni dini moja au wote ni kabila moja? Au unamaanisha nini? We gamba tu hacha majungu. M *b/wa weee
 
naona wengi mmeingia chaka kwenye hii thread, akiwemomuasisi
 
kwakua nyie chadema mna agenda ya udini nyuma ya pazia,bac muweke na alama ya msalaba kwenye bendera yenu ili muwe open zaidi.
 
udini upo wala msibishe na mkae mkijua hilo ndio litakuwa tatizo lenu kubwa uko mbele ya safari

si mnawakumhuka cuf walivyoonza na mambo yao ya kidini sasa kwishney nanyi msipoangalia

itakula kwenu-kwenye ukweli jaribuni kuwa wapole msiwe kama mpunga una rangi gani
 
tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam

cdhan kama ameshawah kubaguliwa kwa udini, labda kwa kauli.
 
tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam

Na wewe unajiita great thinker? Ina maana wanachama na viongozi wooote wa CHADEMA ni wa dini na kabila moja?
Kwa hakika mawazo yako hayalingani na u-great thinker bali u - low thinker. Propaganda nyingine zinamfanya mtu aonekane kama mgonjwa wa akili aliyeruhusiwa toka wodini leo leo. Zitto ana mengi tu mazuri kwa CHADEMA na nchi ya Tanzania, lakini kama binadamu yeyote hakusi mapungufu yanayohitaji kurekebishwa na jamii ambayo ni mchanganyiko wa watu wenye hulka mbalimbali, sasa iweje jamii ikifanya hivyo ilaumiwe kwa udini, ukabila na hata ukanda? Tena kukosolewa kwenyewe kumefanywa na wanachama wa kawaida kwenye vijiwe na forums kama hizi, binafsi sijawasikia viongozi wenzake wakimkosoa hadharani, sasa udini, ukabila uko wapi hapo?

 
tatizo lenu nyie chadema udini unawasumbua, fitna majungu na kelele nyingi kwa zito sababu ni muislam
MMeshindwa Arumeru unakuja kuwewesekea humu! umejiunga JUZI ukamuomba mkeo akugongee LIKE ( KUDADADEKI !!! sera za chama)
 
Zitto msimlaumu dhiki ndizo zilimfanya akengeuke, lakini siku hizi kuna vijana wengi wanaowika sana kiasi kwamba yeye anaonekana kuwa bize na mafisadi wa CCM wakati kina mnyika wanapaaa juu na juu zaidi
 
Back
Top Bottom