Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ni hilo tu jamani
ulitaka waweje?Mbona mabonge nyanya sana....
Vip Mkuu,Ni hilo tu jamaniView attachment 974991
ulitaka waweje?
Ni kweli kabisa....in case of emergency kama wanahudumu na suruwale zilizo bana hivyo+unene wataweza kuwafikia abiria kwa haraka na kutoa msaada?
vingimevyo wamekaa ki waifu matirio napita
Kwenye ndege sio eneo la mashindano ya MA MissHatutaki ma Asha boko....tunataka ma-miss
Kagame ni baba yake.Jiwe kila siku anaponda mabeberu chaajabu ndege zote marubani ni mabeberu kama yuko serious angeazima marubani hata kwa mwanae kagame au kenya
Vyakura vya wenyewe hivyo baba.Mbona mabonge nyanya sana....
ulitaka waweje?