Picha na video za wawakilishi wetu kwenye mashindano ya olympic London 2012

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,976
Ukweli husemwa:

Huu utalii wa kutumia jina la uwakilishi lazima tuuangalie kwa macho mawili.

Sina budi kuzipongeza zile nchi anbazo kwa msimamo makini hata hazikupeleka wawakilishi kuwa kama watalii kwa jina la uwakilishi wa nchi.

imagepng
imagepng




<u>

<u>

<u>

<u>

BALOZI KALLAGHE AWAAGA WANARIADHA WETU KWA MATUMAINI YA OLIMPIKI 2016
[FONT=Georgia, Utopia, 'Palatino Linotype', Palatino, serif][/FONT]


Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza, Mheshimiwa Peter Kallaghe (kulia) akizungumza na baadhi ya wadau wa Michezo aliowaalika ubalozini hapo wakati wa kuiga timu ya Tanzania ya Olimpiki.

Msosi wa nguvu mezani.


Mh Balozi akikabidhiwa tuzo maalum na mkuu wa msafara Hassan Jarufu iliyotoka katika kamati ya Michezo ya Olimpiki.


Mwanariadha Zakia Mrisho akiongea machache na waandishi wa habari.


Selemani Kidunda, Frank Eyembe na Zakia Mrisho wakila pozi


wakati wa kubadilishana mawazo


imagepng


 
Last edited by a moderator:
Ukweli husemwa:

Huu utalii wa kutumia jina la uwakilishi lazima tuuangalie kwa macho mawili.

Sina budi kuzipongeza zile nchi anbazo kwa msimamo makini hata hazikupeleka wawakilishi kuwa kama watalii kwa jina la uwakilishi wa nchi.

imagepng
imagepng












BALOZI KALLAGHE AWAAGA WANARIADHA WETU KWA MATUMAINI YA OLIMPIKI 2016
[FONT=Georgia, Utopia, 'Palatino Linotype', Palatino, serif][/FONT]


Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza, Mheshimiwa Peter Kallaghe (kulia) akizungumza na baadhi ya wadau wa Michezo aliowaalika ubalozini hapo wakati wa kuiga timu ya Tanzania ya Olimpiki.

Msosi wa nguvu mezani.


Mh Balozi akikabidhiwa tuzo maalum na mkuu wa msafara Hassan Jarufu iliyotoka katika kamati ya Michezo ya Olimpiki.


Mwanariadha Zakia Mrisho akiongea machache na waandishi wa habari.


Selemani Kidunda, Frank Eyembe na Zakia Mrisho wakila pozi


wakati wa kubadilishana mawazo


imagepng


Ndugu chawa wa jiwe umekimbilia wapi ?
 
Back
Top Bottom