Picha na Matukio: Mkutano wa CHADEMA Dodoma

Picha na Matukio: Mkutano wa CHADEMA Dodoma

Najiandaa kushona Kilemba na mkoba wenye rangi zote za CHADEMA.Dizaina wangu ameshadizaini.
 
Wananchi kila kona ya nchi washaipitisha CDM sijui tunangojea nn kuchukua nchi
 
tunachohitaji ni taarifa kulingana na uwezo wa kuzipata, suala la kuhitaji picha za zilizo nje ya uwezo wa mtoa taarifa sio la msingi.
tunashukuru dada kwa kazi nzuri, walitudharau vivyo hivyo hata wakati wa uchaguzi mkuu uliopita kuwa wagombea wa CDM hawana fedha lakini ndo hao hao waliowang'oa mafisadi wakubwa ambao tunawafahamu. kitaeleweka tu na vitendea kazi vyetu duni, ubora wa chama haupimwi kwa utajiri wa wafuasi wake bali ni nia ya dhati ya kuingia ikulu.




tunataka taarifa sio ubora wa picha, ujumbe ndio muhimu zaidi ya ubora....atanzani tulichagua rais kwa uzuri wa suru nayaona sasa

Read between the lines..
 
hujajipanga na hujui siasa hasa za nchi hii, kuhusu picha Regia si mwandishi wa habari, ameamua kutupa tusafishe macho, sioni tatizo na hizo picha.

I was there jamaa....the pictures were taken by CHADEMA's personnel....huwezi kuona tatizo la picha kama huelewi umuhimu wa picha katika nyanja ya mawasiliano...
 
Wakuu Salam.
Nimeona ni vema nikawatumia picha kidogo ili mfurahishe macho kuhusiana na mkutano wa baadhi ya Wabunge wa CHADEMA uliofanyika katika Viwanja vya Barafu hapa Dodoma..Maelezo ya kilichojadiliwa naona kuna mwenzangu serayamajimbo ameshaeleza.


Wish You all the best.

photo13-1.jpg

photo10-1.jpg

photo2.jpg

photo.jpg

photo14.jpg

photo11.jpg

photo9.jpg

photo8.jpg

Ahsante sana mkuu.
 
FF Nikweli unachokisema.
1. Ni ukweli usiopinga kuwa tumechoka na udhalimu unaofanywa na Serikali legelege ya Magamba.Wananchi wanapata shida kila leo,gharama za maisha ziko juu,mishahara ya watumishi mnawacheleshea na bado mnawakata bila sababu za msingi,kuna wanafunzi kibao waliochaguliwa kuingia vyuo vikuu wameshindwa kusajiliwa kwa kushindwa kulipa sehemu ya gharama za ada na mengineyo,wakati wenzetu mko mnayoyozika na laptops za mamilioni na maposho kibao mnajimegea,raha tutatoa wapi?Ni lazima tuchoke na hili liserikali lenu dhalimu..
2. Pamoja na kuwa picha zangu hazina ubora kama unaoutaka wewe au baadhi ya watu hapa,lakini angalau nimeweza kuwaonyesha kidogo tu ya kilichojiri kwenye mkutano wa jana na ninashukuru kuwa bado na wewe umekuwa mchangiaji mzuri kwenye sredi hii.
3.Nitaendelea kurusha picha ziwe nzuri ama mbaya zinazohusu matukio ya CHADEMA billa kujali ubora wa picha hizo,mi sifanyi biashara wala sio mpiga picha wala sitokei Magamba mnaotaka picha zakutengeneza..Im alywaz natural and i like natural things,watch my steps!

Kamanda Regia, inatosha; kama kweli FF ni msikivu basi hatarudia kuchokoza ma-intellectual.
 
Ikulu ikiona hivi itapata tabu sana lol!! kweli magamba watajuta kutufahamu............
 
Me nkajua uwanja wa Jamuhuri nao utajaaa kama vile vya NMC jamani ndugu zangu bhalibaho mumeniangusha ila ntakuja huko DOM kwa ajili ya 2015 hapo mjini

Walikua uwanja wa Barafu, si Jamhuri.
 
Kauli nyingine ni za ajabu sana, Hakuna sheria inayofata mkondo wake katika False forced invetion in attempt to criminalise someone,
because of a political motivation. Ilo halikubaliki kwa serikali ya Ccm kutumia askari kama marobot kutumia nguvu za dola kuwakanda-
viongozi wa upinzani pamoja na wananchi kwa ajili kulazimisha kupora pesa za nchi na rasilimali zake kwa kutumia nguvu.
Mpaka kufikia sasa hivi nchi imefilisika. Ukombozi uendelee mpaka Kikwete na Serikali yake ya Ccm ing'oke kabla ya 2015.
Kwa sababu wameshafikia hatua mbaya ya kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa yeyote atakayejitokeza kutetea maslahi ya Taifa.
Hatua tuliyofikia sio ya kufanya ushabiki wa kisiasa kwani tunaoathirika ni Watanzania wote, CDM tusichoke bali tuzidishe mapambano
mpaka Taifa liwe huru.
 
FF Nikweli unachokisema.
1. Ni ukweli usiopinga kuwa tumechoka na udhalimu unaofanywa na Serikali legelege ya Magamba.Wananchi wanapata shida kila leo,gharama za maisha ziko juu,mishahara ya watumishi mnawacheleshea na bado mnawakata bila sababu za msingi,kuna wanafunzi kibao waliochaguliwa kuingia vyuo vikuu wameshindwa kusajiliwa kwa kushindwa kulipa sehemu ya gharama za ada na mengineyo,wakati wenzetu mko mnayoyozika na laptops za mamilioni na maposho kibao mnajimegea,raha tutatoa wapi?Ni lazima tuchoke na hili liserikali lenu dhalimu..
2. Pamoja na kuwa picha zangu hazina ubora kama unaoutaka wewe au baadhi ya watu hapa,lakini angalau nimeweza kuwaonyesha kidogo tu ya kilichojiri kwenye mkutano wa jana na ninashukuru kuwa bado na wewe umekuwa mchangiaji mzuri kwenye sredi hii.
3.Nitaendelea kurusha picha ziwe nzuri ama mbaya zinazohusu matukio ya CHADEMA billa kujali ubora wa picha hizo,mi sifanyi biashara wala sio mpiga picha wala sitokei Magamba mnaotaka picha zakutengeneza..Im alywaz natural and i like natural things,watch my steps!

Hakika with this kind of thinking, dada (naamini ni mtazamo wako si wa chama, ndio maana nimekuaddress wewe) utakua huna tofauti na hao Magamba; ambao wao yeyote anaewakosoa na kutaka waweke mambo sawa anaonekana Magandwa!!

Ni kweli hizo picha dada hukupiga wewe; jana nilikuwepo kwenye mkutano.
Sitaki kuamini kama hujaweza kuelewa ujumbe na ushauri wangu.

Anyway, ni ushauri tu; you can take it or throw it in a trashbin. The choise is yours.
 
Back
Top Bottom