Unanchekesha!!!!Alifikiri unaingia na kutoka anapotaka yeye? amuulize Mwenyekiti wake walimfanya nini? alikesha central. Sasa na yeye asubiri sheria ifate mkondo.
Magwanda ninayo tena ya kutosha tu ila lazima kuwa na varieties kama hizo za rangi za chama..Unakuwa mdada hasa..Napenda rangi za CHADEMA,zinamvuto hasa,ukivaa ukishona gauni au sketi zinapendeza ila mbaya..
Nikienda Arusha utaniona na zingine..
Hata muandamane kutwa kucha, Tanzania hii ng'o, hamtufikii idadi yetu hata mfanye nini. Jaribuni.
Magwanda ninayo tena ya kutosha tu ila lazima kuwa na varieties kama hizo za rangi za chama..Unakuwa mdada hasa..Napenda rangi za CHADEMA,zinamvuto hasa,ukivaa ukishona gauni au sketi zinapendeza ila mbaya..
Nikienda Arusha utaniona na zingine..
Hivi hao kwenye picha ndio wanachama wenu woooote Dodoma nzima? mnanchekesha! si bora hizo picha mngezi "photo shop" kidogo kama kawaida yenu muonekane japo wengi wengi, au hamjampa maujanja huyu aliozibandika humu, maana sijui hata kama anajuwa huo ujanja mnaoufanya siku zote humu, mum "PM" mumpe maujanja ya "photo shop", hayajuwi huyo.
Wateja wetu lazima myoyome. Nasikia Dr. Kafumu leo Kafumuwa kiapo Bungeni, kweli?
Poleni sana, hamjafanya maandamano?
Magwanda wanapomzimia Nape
Kulikuwa kuna msiba?
Nape anapojipendekeza kwa CHADEMA
Please don't
Kuchanganya rangi kama hii ya leo.....it looks tacky. Kaa joker (@-@)
Kama vipi vaa rangi moja ......Nyekundu with a thin blue belt (or Blue with another one colour belt)
Au rangi moja nguo....but accessories vaa za rangi nyengine moja.
Hii ya kuchanganya rangi kama leo mkono mwengine, kifua nusu nyengine, hapana aisee, haivutii
Kapendeza sana na kumbuka usemi ''Beauty is in the eyes of the beholder'' na pengine wewe umevaa chupi ya kaniki na ndivyo mkeo/mmeo anakuona umetoka chicha!
Hivi hao kwenye picha ndio wanachama wenu woooote Dodoma nzima? mnanchekesha! si bora hizo picha mngezi "photo shop" kidogo kama kawaida yenu muonekane japo wengi wengi, au hamjampa maujanja huyu aliozibandika humu, maana sijui hata kama anajuwa huo ujanja mnaoufanya siku zote humu, mum "PM" mumpe maujanja ya "photo shop", hayajuwi huyo.
Nyie mdanganyeni tu!
Mpaka unajiuliza "hana marafiki huyu?"
idadi yenu akina nani? ninachojua ni kuwa idadi ya mambumbumbu waliopo ccm ni kubwa sana na hakuna chama kinachoweza vunja hiyo rekodi, i guess that's what u you mean!
marafiki anao na walimuona na walimpa big up, kasoro unayotoa wewe is just a drop in the ocean! just TRIVIAL!
hahaa wewe Kigagu unanifurahisha sana sasa azi Photoshop ili iweje?
Kulikuwa kuna msiba?
idadi yenu akina nani? ninachojua ni kuwa idadi ya mambumbumbu waliopo ccm ni kubwa sana na hakuna chama kinachoweza vunja hiyo rekodi, i guess that's what u you mean!