Alikuwa hana madeni au alikuwa si mtu wa totoz za watu?
Ni vitu vya kuchunguzwa vyote hivyo, ufanyike uchunguzi wa kina, wa kipolisi na wa kibinafsi (private investigation) au chombo kingine chenye uwezo huo. Inasikitisha lakini hatuwezi kujuwa "motive" mpaka uchunguzi wa kina ufanyike.
Kiukweli nina mashaka na AKILI yako.. Nadhani wewe kuna fuse zimeachia sio bure.... :frusty:
Ndio matatizo ya Alshaabab na Boko Haram... utawajua tu to them blood is just a normal.... Kwahiyo hata kama alifanya hayo alistahili kufanyiwa hivyo sio?? Wakati mwingine kama huna cha kuandika jifanye hujaona au bado Nape anawalipa kwa post??Alikuwa hana madeni au alikuwa si mtu wa totoz za watu?
Ni vitu vya kuchunguzwa vyote hivyo, ufanyike uchunguzi wa kina, wa kipolisi na wa kibinafsi (private investigation) au chombo kingine chenye uwezo huo. Inasikitisha lakini hatuwezi kujuwa "motive" mpaka uchunguzi wa kina ufanyike.
Nimeweka kwenye title kabisa labda Mods wanisaidi namna ya kuiweka lakini yoyote kwa yote ni unyama ambao sikutegemea kama watanzania leo hii tumefikia unyama wa kiwango hiki...haivumiliki...
Mficha uchi hazai....Binafsi sioni kama picha hizi zinamtendea haki marehemu. Pia naona ni kama vile zinachochea ulipizaji wa kisasi na hiyo ni mbaya zaidi hasa kama polisi watashindwa kuwatia nguvuni wanachama wa CCM waliomuua.
binafsi sioni kama picha hizi zinamtendea haki marehemu. Pia naona ni kama vile zinachochea ulipizaji wa kisasi na hiyo ni mbaya zaidi hasa kama polisi watashindwa kuwatia nguvuni wanachama wa ccm waliomuua.