MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kata ya Usa River, wilayani Arumeru, Msafiri Mbwambo (38) ameuawa kwa kukatwa shingoni na kitu chenye ncha kali.[FONT=arial, sans-serif]
[/FONT]View attachment 52914
View attachment 52915
View attachment 52916
Ee Mungu tulipie kisasi kwa waliofanya unyama huu