Mkuu bora umerudi unatoa vitu vya furahaIla acheni utani bhana, jide ana mvuto, age imeenda lakini mtoto bado analipa
Du nilikutana na lemutuz pale ofisi za makonda hahahah bonge la mtuNgoja niwahi siti ila Mkuu huoni mitaa ya lemutuz pembeni kuongezea uzuri,ingekuwa live tungevumilia atoke kwenye hiyo mitaa tungepata ukweli wa huo uzuri.
ni kweli Mkuu tena ukionana nae utawaza vingiDu nilikutana na lemutuz pale ofisi za makonda hahahah bonge la mtu
Halafu eti kafunua tumbo makusudi ili tuone kitovu!!we mmama hukui tu!Alee watoto sasa. Vitovu nje awaachie kina Tunda.
Wako wapi?Alee watoto sasa. Vitovu nje awaachie kina Tunda.
MuhengaAlee watoto sasa. Vitovu nje awaachie kina Tunda.