Ila acheni utani bhana, jide ana mvuto, age imeenda lakini mtoto bado analipa
Alee watoto sasa. Vitovu nje awaachie kina Tunda.
HahahahahahahahahahHalafu eti kafunua tumbo makusudi ili tuone kitovu!!we mmama hukui tu!
Ila acheni utani bhana, jide ana mvuto, age imeenda lakini mtoto bado analipa
yupo kwa madiba ana show hukoHivi yuko bongo kweli uyu
hahaahah jf sitokiAache mbwembwe, tushachoka na mionekano mipya, atuletee anko!
Warumi una mahaba tu na jide mbona hana hicho unachosifia, mi labda usifie kazi zake ndo nitaelewa.Aaah, binamu umeanza