KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
- Thread starter
- #21
Kwi kwi kwiiiii....(Ni heri kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti:By Kamanda Lema)Zisome sms zao.............
Mshana ''kwa kumuhoji Mbowe umeivua nguo bajeti,unatakiwa ufike ofisi za TBC Dodoma kwa ajili ya mahojiano ya kina''
Mdada- ''sawa bosi ila sikujua kama ni Mbowe, nimekuja kushtuka tayari keshafunguka''